Nahitaji mkulima wa mbogamboga...

Nahitaji mkulima wa mbogamboga...

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,816
Nahitaji mtu wa ajili ya mradi wa kulima shamba la ekari moja kwa ajili ya mbogamboga na matunda na ufugaji km upo njoo pm tuyajenge! Uwe serious tafadhali... Mshahara kila kitu tutaongea, uwe tayari kukaa hukohuko shamba kila kitu ntagharamia mwenyewe tukielewana.
 
Mitego yangu yote ya town ikibaunsi week ijayo, nitakuPM mkuu, nije kuchukua hela ya forex. 🙂🙂. Vyuma vimekaza mjini. Waya mkali, mbuzi analamba reli. Andaa salari hiyo . 😉😉

-Kaveli-
 
Tuongee biashara,,,Nina kijana amebobea kwenye hyo kazi,,,
 
Watu Makini Wanakula Vilivyo Bora Kwa Afya Zao, Wewe Ni Mmoja Wao. Kula Mboga Ya Majani Iliyozalishwa Kwa Viwango Vya Kimataifa, Isiyopoteza Ukijani Wake Hata Baada Ya Kupikwa. Radha Madhubuti, Virutubisho Vyakutosha!

Kuipata Kwa Urahisi, Wasiliana Nasi Kwa Namba 0622607884 Au 0622243034

WhatsApp: +255621964048

TUNAJALI USALAMA WA AFYA YA MLAJI!

TUPO IMAGE IRINGA

MJULISHE NA JIRANI YAKO!
 
Back
Top Bottom