Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,961
- 3,919
Unataka kiwanja wap mkuu nitaftie?Aah basi kumbe ni Kigamboni
Unataka kiwanja wap mkuu nitaftie?Aah basi kumbe ni Kigamboni
Ukubw wa kiwanja?kigamboni mkuu
354sqmUkubw wa kiwanja?
Okay mkuu nikajua kinafika acre 1354sqm
kama tukielewana bei naweza kuuza
Unataka kiwanja wap mkuu nitaftie?
kama una nia ya kurejesha pesa ukikopa, si uende tu bank mzee? au unaogopa riba? yaani kiwanja unacho tena kina hati, na hati genuine, panda daladala au mkoko wako chap nenda bank ya karibu onana na afisa mikopo. utapata hela. au unataka kuuza icho kiwanja? funguka.Wakuu nihitaji kukopa milioni moja fasta. Kuna mambo yamenibana, dhamana naweka hati ya kiwanja. Nipo Dar kama mtu ana idea sehemu naweza pata pia aniambie.
bank gani mfano, nimeenda kama bank 2 hivi maarufu wamesema wanahitaji nyumba na si kiwanja. niambie niende benki gani specificallykama una nia ya kurejesha pesa ukikopa, si uende tu bank mzee? au unaogopa riba? yaani kiwanja unacho tena kina hati, na hati genuine, panda daladala au mkoko wako chap nenda bank ya karibu onana na afisa mikopo. utapata hela. au unataka kuuza icho kiwanja? funguka.