Round about wapi mkuu.kuna wale wanaoweka matangazo kwenye round about sijui huwa wanakopa kweli ?
Nipe details.kuna wale wanaoweka matangazo kwenye round about sijui huwa wanakopa kweli ?
Kiwanja kipo maeneo gani mzee babawakuu nihitaji kukopa milioni moja fasa. kuna mambo yamenibana, dhamana naweka hati ya kiwanja. Nipo Dar. kama mtu ana idea sehem naweza pata pia aniambie
kigamboni mkuuKiwanja kipo maeneo gani mzee baba
Kigamboni sehemu gani?kigamboni mkuu
Hapo inabidi muhandikishiane kabisa, kwamba ukishindwa kiwanja Mali yake,Wakuu nihitaji kukopa milioni moja fasta. Kuna mambo yamenibana, dhamana naweka hati ya kiwanja. Nipo Dar kama mtu ana idea sehemu naweza pata pia aniambie.
Niuzie hicho kiwanja mkuu. Fasta nakulipa leoleoWakuu nihitaji kukopa milioni moja fasta. Kuna mambo yamenibana, dhamana naweka hati ya kiwanja. Nipo Dar kama mtu ana idea sehemu naweza pata pia aniambie.
Unajua sheria ya ardhi?yaani ukimpatia pesa hiyo akaweka dhamana kiwanja hata mkiandikishiana, akishindwa kurudisha hiyo pesa huna haki ya kukichukua hicho kiwanja, na ataenda mahakamani atakushinda tu!!bora mtu aweke gari au kitu chochote kile lakini sio kiwanja.labda akuuzie kabisaHapo inabidi muhandikishiane kabisa, kwamba ukishindwa kiwanja Mali yake,
kigamboni mwasonga, kina hati, eneo la mradi umeme upoKigamboni sehemu gani?
Ikibidi niuzie tumalizane kabisa
yes, kigamboni mwasonga, eneo la mradi na kina hatiAah basi kumbe ni Kigamboni
Kina ukubwa ganikigamboni mwasonga, kina hati, eneo la mradi umeme upo
Kiwanja kipo wapi mkuu?Wakuu nihitaji kukopa milioni moja fasta. Kuna mambo yamenibana, dhamana naweka hati ya kiwanja. Nipo Dar kama mtu ana idea sehemu naweza pata pia aniambie.
354 sqmKina ukubwa gani
kigamboni mwasongaKiwanja kipo wapi mkuu?
kigamboni mwasonga
kigamboni mwasonga
kama tukielewana bei naweza kuuzaUnaweza kukiuza?