Nahitaji mwanamke aliye serious kuolewa, awe mkristo, anaishi dar,mwajiriwa au Mjasiriamali, hata kama ana mtoto,elimu awe na degree na awe na miaka kuanzia 26 hadi 35.
Njoo PM tuzungumze .
Aisee mbona wako wengi tu,vp huwaoni ama hukutani nao?tupe na wewe CV yako tufahamu,maana umeweka unavyotaka,na je na mtu mwenye 38 na ana mtoto 1 anafaa?