Waambie vijana wenzako wajue thamani ya hiyo mifuko siyo unaitafuta pasi sababu.
Kuna jamaa yeye kawapa tenda waokota chupa popote wanapoiona hiyo mifuko wanaibeba naye anawalipa, inavyoonekana ni deal sababu huyu jamaa anafungasha magunia yale makubwa kama yanayokuja na mchanga kutoka nje na kuuza hapo Dar!.