joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
Habari wanabodi?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ni kwamba nahitaji mfanyakazi wa Kike wa Kuuza duka la vipodozi na urembo.
SIFA ZA MFANYAKAZI
1) Awe na Elimu ya Form IV.
2) Awe ni mrembo haswa na Msafi wa kila kitu.
3) Awe ni mchangamfu.
4) Awe ni mwaminifu.
MSHAHARA
Mshahara ni Tshs 80,000/= na nitakuhudumia na chakula tu.
Tshs 120,000/= kwa huu mshahara itabidi ajitegemee chakula.
Duka lipo Ubungo Riverside.
Karibuni wenye uhitaji wa kazi.
NB: AKINISHAWISHI VIZURI KATIKA UTENDAJI KAZI BASI NA MSHAHARA WAKE UTAONGEZEKA.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ni kwamba nahitaji mfanyakazi wa Kike wa Kuuza duka la vipodozi na urembo.
SIFA ZA MFANYAKAZI
1) Awe na Elimu ya Form IV.
2) Awe ni mrembo haswa na Msafi wa kila kitu.
3) Awe ni mchangamfu.
4) Awe ni mwaminifu.
MSHAHARA
Mshahara ni Tshs 80,000/= na nitakuhudumia na chakula tu.
Tshs 120,000/= kwa huu mshahara itabidi ajitegemee chakula.
Duka lipo Ubungo Riverside.
Karibuni wenye uhitaji wa kazi.
NB: AKINISHAWISHI VIZURI KATIKA UTENDAJI KAZI BASI NA MSHAHARA WAKE UTAONGEZEKA.