Nahitaji Memory Card 128MB > bajeti yangu ni 2500/= !

Nahitaji Memory Card 128MB > bajeti yangu ni 2500/= !

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,523
Reaction score
2,162
Nipo Dar

bajeti yangu ndo hiyo wadau 2500/= ila tunaweza kuelewana !
Ahsante !


0755574285

moby-memory-128mb-micro-sd-microsd-transflash-tf-memory-card.jpg
 
sasa hio elfu mbili mia tano si mtu hata akiwa mbeya mjini akikufata huko ulipo usafirishaji utakuwa umezidi hio pesa ?, Kwa ushauri cheki maduka yako ya karibu unaweza ukapata hata 1gb ne bei wala sio mbaya
 
Dunia hii ya kileo unataka 128MB...mweeh
Ukienda dukani watakupa bure
 
Mbona bajeti yako ni kubwa sana kwa mb 128?
 
sasa hio elfu mbili mia tano si mtu hata akiwa mbeya mjini akikufata huko ulipo usafirishaji utakuwa umezidi hio pesa ?, Kwa ushauri cheki maduka yako ya karibu unaweza ukapata hata 1gb ne bei wala sio mbaya


Tusiangalie kuchoma nauli Mkuu !
Hapo penyewe nimepigia mahesabu tayari ! Kwahiyo 2500/=
 
hahahahhahahhahahaha dah noma sana....mkuuu unataka kweli au umeamua kuchekesha tu watu
 
Mi nahitaji memory card 512 kb,bajeti yangu 5,000/=
 
Nasikia harufu ya mtu anataka akatapeliwe hapa....
 
Back
Top Bottom