Nakaribisha PM kwa mdada mwenye nia ya dhati ya kuolewa. Sifa awe mkristou umri wake usizidi miaka 29.
Mwenye mtoto 1 ruksa,asiwe mnene na asiwe mweusi,awe anajua kusoma na kuandika,kuhusu mimi,
Mweusi mwembamba nina miaka 34 - 38 najua kusoma na kuandika si mfupi wala mrefu.
Naomba kusisitiza pm ni kwa walio serious tu.
Karibuni kwa pm.
Mwenye mtoto 1 ruksa,asiwe mnene na asiwe mweusi,awe anajua kusoma na kuandika,kuhusu mimi,
Mweusi mwembamba nina miaka 34 - 38 najua kusoma na kuandika si mfupi wala mrefu.
Naomba kusisitiza pm ni kwa walio serious tu.
Karibuni kwa pm.