Imchomvu Member Joined May 8, 2014 Posts 10 Reaction score 83 Aug 4, 2025 #1 nahitaji mchumba mwenye umri 25-35 mwanamke alie tayari anicheki whatsaap tuyajenge 0694599179 nahitaji alie serious na tayari kuyajenga mahusiano.
nahitaji mchumba mwenye umri 25-35 mwanamke alie tayari anicheki whatsaap tuyajenge 0694599179 nahitaji alie serious na tayari kuyajenga mahusiano.
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 34,080 Reaction score 102,532 Aug 4, 2025 #2 All the Best Mkuu, Ukifanikiwa unichague niwe msimamizi upande wa vinywaji siku ya harusi yako nikisaidiana na min -me
All the Best Mkuu, Ukifanikiwa unichague niwe msimamizi upande wa vinywaji siku ya harusi yako nikisaidiana na min -me
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 33,726 Reaction score 55,368 Aug 10, 2025 #3 Kila la kheri
S Superb2014 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2017 Posts 10,096 Reaction score 8,199 Aug 11, 2025 #4 Mungu akupe haja ya moyo wako.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,102 Reaction score 181,129 Aug 11, 2025 #5 Mashangazi mnaitwaa huku, kuna mzee anahitaji uwepo wenu kwake. Lol πππππ
Imchomvu Member Joined May 8, 2014 Posts 10 Reaction score 83 Aug 22, 2025 Thread starter #6 The Icebreaker said: All the Best Mkuu, Ukifanikiwa unichague niwe msimamizi upande wa vinywaji siku ya harusi yako nikisaidiana na min -me Click to expand... hakuna mtu humu wote waigizaji tu
The Icebreaker said: All the Best Mkuu, Ukifanikiwa unichague niwe msimamizi upande wa vinywaji siku ya harusi yako nikisaidiana na min -me Click to expand... hakuna mtu humu wote waigizaji tu
Imchomvu Member Joined May 8, 2014 Posts 10 Reaction score 83 Aug 22, 2025 Thread starter #7 Shadow7 said: Kila la kheri Click to expand... bora iwe heri kuliko shari
Imchomvu Member Joined May 8, 2014 Posts 10 Reaction score 83 Aug 22, 2025 Thread starter #8 cocastic said: Mashangazi mnaitwaa huku, kuna mzee anahitaji uwepo wenu kwake. Lol πππππ Click to expand... humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao
cocastic said: Mashangazi mnaitwaa huku, kuna mzee anahitaji uwepo wenu kwake. Lol πππππ Click to expand... humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,102 Reaction score 181,129 Aug 22, 2025 #9 Imchomvu said: humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao Click to expand... ππππ
Imchomvu said: humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao Click to expand... ππππ
N new gal JF-Expert Member Joined May 4, 2021 Posts 1,661 Reaction score 3,116 Aug 24, 2025 #10 Imchomvu said: humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao Click to expand... Heee watakuja kweliπ€£
Imchomvu said: humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao Click to expand... Heee watakuja kweliπ€£
Xiao qui shui JF-Expert Member Joined Feb 26, 2022 Posts 6,195 Reaction score 10,821 Aug 24, 2025 #11 Imchomvu said: nahitaji mchumba mwenye umri 25-35 mwanamke alie tayari anicheki whatsaap tuyajenge 0694599179 nahitaji alie serious na tayari kuyajenga mahusiano. Click to expand... Utapigwaπππ
Imchomvu said: nahitaji mchumba mwenye umri 25-35 mwanamke alie tayari anicheki whatsaap tuyajenge 0694599179 nahitaji alie serious na tayari kuyajenga mahusiano. Click to expand... Utapigwaπππ
L lesleswng Member Joined May 3, 2023 Posts 96 Reaction score 296 Aug 25, 2025 #12 Imchomvu said: nahitaji mchumba mwenye umri 25-35 mwanamke alie tayari anicheki whatsaap tuyajenge 0694599179 nahitaji alie serious na tayari kuyajenga mahusiano. Click to expand... Hakunabwaowaji mtandaoni utaishia kuliwa na ujute
Imchomvu said: nahitaji mchumba mwenye umri 25-35 mwanamke alie tayari anicheki whatsaap tuyajenge 0694599179 nahitaji alie serious na tayari kuyajenga mahusiano. Click to expand... Hakunabwaowaji mtandaoni utaishia kuliwa na ujute
TheChoji JF-Expert Member Joined Apr 14, 2009 Posts 6,551 Reaction score 20,256 Aug 25, 2025 #13 Kuna matangazo mengi ya wanaume wanatafuta wanawake... na pia ya wanawake wanatafuta wanaume. Nyie mnaotafuta kwanini msifanye "cross multiplication" mkamalizana juuu kwa juu?
Kuna matangazo mengi ya wanaume wanatafuta wanawake... na pia ya wanawake wanatafuta wanaume. Nyie mnaotafuta kwanini msifanye "cross multiplication" mkamalizana juuu kwa juu?
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 43,981 Reaction score 95,419 Aug 25, 2025 #14 TheChoji said: Kuna matangazo mengi ya wanaume wanatafuta wanawake... na pia ya wanawake wanatafuta wanaume. Nyie mnaotafuta kwanini msifanye "cross multiplication" mkamalizana juuu kwa juu? Click to expand... wawe makini, hizo cross cross zaweza ibua loss
TheChoji said: Kuna matangazo mengi ya wanaume wanatafuta wanawake... na pia ya wanawake wanatafuta wanaume. Nyie mnaotafuta kwanini msifanye "cross multiplication" mkamalizana juuu kwa juu? Click to expand... wawe makini, hizo cross cross zaweza ibua loss
TheChoji JF-Expert Member Joined Apr 14, 2009 Posts 6,551 Reaction score 20,256 Aug 25, 2025 #15 Intelligent businessman said: wawe makini, hizo cross cross zaweza ibua loss Click to expand... Kwenye uchumi tunaita "double coincidence of wants" mkuu. Unaangalia tu mwenye kile unachotaka na wewe unataka kile alicho nacho basi mnaunganisha nanii.
Intelligent businessman said: wawe makini, hizo cross cross zaweza ibua loss Click to expand... Kwenye uchumi tunaita "double coincidence of wants" mkuu. Unaangalia tu mwenye kile unachotaka na wewe unataka kile alicho nacho basi mnaunganisha nanii.
M mimimnyenyekevu JF-Expert Member Joined Apr 19, 2023 Posts 760 Reaction score 1,037 Aug 25, 2025 #16 Imchomvu said: humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao Click to expand... Mbona makasiriko tena bwana harusi mtarajiwaπ Imchomvu said: humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao Click to expand... Mbona makasiriko tena bwana harusi ππ
Imchomvu said: humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao Click to expand... Mbona makasiriko tena bwana harusi mtarajiwaπ Imchomvu said: humu hamna mashagazi ni mabibi walioshindikana kwa mababu zao Click to expand... Mbona makasiriko tena bwana harusi ππ