kabla ujajibu mtu ovyo soma kwanza uelewe Ndio utoe jibu lako mbwa koko toka iringa,wala there was no need ya wewe kujibu Kama ulikua huna jibu la kuhusu Mbwa niliowataja hapo juu..
Mkuu Mbwa wa kitaa wenye huo uzito wapo kibao tu mimi nna dume moja mbegu ya kienyeji ana kilo 56 yaani ni mkali balaa !! sema vya huku uswazi kwetu huwa havithaminiwi.
Mkuu Mbwa wa kitaa wenye huo uzito wapo kibao tu mimi nna dume moja mbegu ya kienyeji ana kilo 56 yaani ni mkali balaa !! sema vya huku uswazi kwetu huwa havithaminiwi.