Nahitaji mayai ya kuku wa kisasa

Nahitaji mayai ya kuku wa kisasa

dlnobby

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
2,514
Reaction score
3,349
Kama bango linavojieleza nipo Dar kama unayo mayai ya kuku wa kisasa njoo tufanye biashara nahitaji mengi.
 
Unataka trey ngapi?
Kuna mkurya mmoja namjua Yuko banana Ana mayai ya kutosha.....
Ni pm # yko Nku
Trei kuanzia 50...vp mkuu unazo
hzo unapata mbona ukitaka Hata 500 trey unapata.....
Trey1 sahv bei ya jumla ni 10000 Kwa trey
Ni pm nkunganishe mtu akupatie mayai hayo

Ova
 
Unataka trey ngapi?
Kuna mkurya mmoja namjua Yuko banana Ana mayai ya kutosha.....
Ni pm # yko Nku

hzo unapata mbona ukitaka Hata 500 trey unapata.....
Trey1 sahv bei ya jumla ni 10000 Kwa trey
Ni pm nkunganishe mtu akupatie mayai hayo

Ova
Mkuu 10k....kweli vyuma vimekaza
 
Mkuu 10k....kweli vyuma vimekaza
Ndy bei ya jumla....labda uende moja Kwa moja Kwa wakurya kule banana,ila mayai inauzika tu hamnaga vyuma kukaza wala kulegeza mkuu....ni pm # yko....
Kuna wakati Nlikuwa zenji nlipataga oda ya mayai bei Yao Ilikuwa juu kdg
Pm # tuyajenge jamaa

Ova
 
Unataka trey ngapi?
Kuna mkurya mmoja namjua Yuko banana Ana mayai ya kutosha.....
Ni pm # yko Nku

hzo unapata mbona ukitaka Hata 500 trey unapata.....
Trey1 sahv bei ya jumla ni 10000 Kwa trey
Ni pm nkunganishe mtu akupatie mayai hayo

Ova
Bei ya jumla trey 1 Tsh 10000????
Yana upekee gani hayo mayai ya mkurya
 
kumbee.... maana jumla trey 7000 mpaka 8000
Hiyo ni bei ya wapi?labda kama unaenda nunua
Moja Kwa moja Kwa mfugaji.....
Ila wauzaji wa jumla wanaochukua Kwa wafugaji huko trey nyingi wao wanuza yai moja sh 400

Ova
 
Hiyo ni bei ya wapi?labda kama unaenda nunua
Moja Kwa moja Kwa mfugaji.....
Ila wauzaji wa jumla wanaochukua Kwa wafugaji huko trey nyingi wao wanuza yai moja sh 400

Ova
Jiji hili hili lenye kitongoji cha banana!!! Kama unauziwa mayai 10000 unaliwa kabuku2 kwa kila trey
 
Jiji hili hili lenye kitongoji cha banana!!! Kama unauziwa mayai 10000 unaliwa kabuku2 kwa kila trey
Kama unakwenda nunua Kwa wakurya sawa huko utauziwa chini ya buku ila Kwa mwingine Mfano anatokea zenji au sehemu nyingine,mtu anaona bora akachkue Kwa wanaouza jumla Kwa 10000/ Kwa trey

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom