Nahitaji mayai ya kisasa

Ishemo

Senior Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
194
Reaction score
127
Habari za Jioni wana Jf

Nahitaji mayai ya kisasa trey 30 kwa tzs 6000 @ Trey
Niko Mwenge opp na TRA
aliye nayo anipm tuelewane nahitaji kesho by Saa 5 asbh

Asante
 
Me pia naitaj kufanya ii biashara muongoz0 wadau/msaada vitu vya kuzingatia unapoitaj kuanza biashara ya uuzaj mayai,
 
Habari za Jioni wana Jf

Nahitaji mayai ya kisasa trey 30 kwa tzs 6000 @ Trey
Niko Mwenge opp na TRA
aliye nayo anipm tuelewane nahitaji kesho by Saa 5 asbh

Asante
Mwambie shemeji yako akuletee kwa hiyo bei unayotaka ila shamba bei ni sh 7000.
 
Habari za Jioni wana Jf

Nahitaji mayai ya kisasa trey 30 kwa tzs 6000 @ Trey
Niko Mwenge opp na TRA
aliye nayo anipm tuelewane nahitaji kesho by Saa 5 asbh

Asante
labda ya kuku anayeanza kutaga
 
Kwa bei yako una maanisha trei la mayai 30 kila yai uuziwe Tsh 200/=? Acha tutakula na wanangu au nitawapa majirani wapate protein
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…