Nahitaji masomo ya mtandaoni yakiwemo IT na kiingireza

Nahitaji masomo ya mtandaoni yakiwemo IT na kiingireza

mzee wa ndoto

Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
75
Reaction score
46
Jamuhuri ya muungano wa Tanzania...

Natumai muazima wa afya nisiwachoshe tusichoshane shida yangu Mimi nahitaji masomo ya mtandaoni Kati ya masomo hayo IT na kingireza kisikose.

Shule nilikimbia sasa naiona umuhimu wake majukumu nayo yamenibana. Mwenye kuweza kunifundisha kwa njia ya simu tafadhari tuwasiriane ni muhim sana.

Kama unapajua sehem ya kumaliza tatizo langu Hilo la elimu ya kujiendeleza nipe link.
 
Back
Top Bottom