Prof Decentman
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 276
- 140
Habari wadau,
Kuna ndugu yangu anahitaji mashine ya kuoshea magari na kuvuta vumbi, binafsi yake angependa mashine used zilizo bora na sio za kichina, tafadhari kama kuna mtu anauza awasiliane naye kwa namba hizi;
0782124242
Nawasilisha.
Unataka zinazo tumia umeme wa kiasi gani?
Capacity in terms of liters na pressure kiasi?
View attachment 170886View attachment 170887
Pia kuna ambazo zina tumia petrol zina power generator yake attached,kama hizi hapa chini?
View attachment 170888View attachment 170889
Ni PM kwa maelewano,naweza kukuletea mzigo mpya kwa bei poa
Kiongozi twahitaji za kutumia umeme na sio mafuta. Ni kwa ajili ya biashara so zinatakiwa kuwa bora kabisa.
Unataka zinazo tumia umeme wa kiasi gani?
Capacity in terms of liters na pressure kiasi?
View attachment 170886View attachment 170887
Pia kuna ambazo zina tumia petrol zina power generator yake attached,kama hizi hapa chini?
View attachment 170888View attachment 170889
Ni PM kwa maelewano,naweza kukuletea mzigo mpya kwa bei poa
Kiongozi twahitaji za kutumia umeme na sio mafuta. Ni kwa ajili ya biashara so zinatakiwa kuwa bora kabisa.
mkuu Karcher K5 uk brand nitaipata kwa ngapi hapa bongo used au mpya? je unazo,maana nahitaji hizo ngoma pamoja na vifaa vyake vya kuosha gari mpaka ndani