Hii kitu nimefanyia research ya kutosha kiasi, mashine zipo za aina tofauti kuanzia dollar elf tatu mia tano kutokana na uhitaji wako.
Kuna ndugu kasema mabanzi kutoka iringa ni raw materials sawa ila mtu wa kutumia mabanzi ni yule aliye ktk level za juu sana, fanya tafiti.
But ipo mashine inatumia bamboo stick (mianzi) ambayo ni rahisi zaidi na inamfaa muwekezaji mdogo... Good take