Nahitaji Masada

  • Waliosoma 'between lines' wameelewa, labda mtu awe VII B.
  • Pole sana asee! Kila mtu ni mdhambi na yupo hatarini kuanguka zaidi kwa3kutolitii neno.
  • Sijui imani yako, ila nilitamani upate huduma ya kiroho kwa padre mmoja kiboko ya giza.
  • Kama itakupendeza, nitafute PM naweza kupa A, B, C za kukurudishia tena ramani ya maisha.
  • Mungu aliyekuumba ana mpango nawe. USIKATE TAMAA!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…