Nahitaji maombi!!!!!!!!

mkuu jivishe explosive kama al shabab/alqaida ujilipue nae, utakuwa umetusaidia sana kumwondosha huyo nduli
 
Nakupongeza kwa roho hiyo kukupata kwakuwa sasa tunazidi kuongezeka tuliofunguliwa akili toka makucha ya kinyonyaji ya mabakauchumi(ccm)! Binafsi ugonjwa huo kwangu umepanda kwani hatafamili yangu yote mpaka mwanangu wa miaka miwili akisikia au kuona mkweree akiongea huzima luninga huku akisonya na matusi kibao! Ninakereka bila sababu nikiwaona akinamama wanaouza mihogo wakiwa wamevaa yale matshet yakijaniccm huku nimasikini wakutupwa.
Kila siku namuomba mungu awape ufahamu wtz wote na mwisho wa siku waichukue nchi yao toka kwa kikundi hiki mumiani.
Mungu ibariki tz, Mungu zibariki roho za waja wako wapate kufunguliwa!!!!
 
Huyo endelea tu kumchukia. Mi ningekuwa naweza kuchukia watu na mimi ningemchukia.
Hiyo siyo chuki kabisa na hata dhambi hupati. Lol.
 
Mkuu hilo nalo ni la kuhitaji maombi?mbona kama hivyo ndivyo...... tupo wengi basi wa tatizo ka lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…