Nahitaji Mahusiano ya kujivunia

Nahitaji Mahusiano ya kujivunia

Pol mchina

Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
10
Reaction score
20
Kwa jina naitwa pol kjna wa miaka 24 ni muhitim wa chuo kikuu.,kitu kilichonivuta niandike katka thread hii ni uitaj wa mschana mwny mapnz thabt ,kuna msemo usemao "every successful man there is women behind" kiuklwl kwny mnpz dhat yalio na equal interests btn both side ni mazur sana, before nlkuw katk mahusiano na mschana nliekuw nasoma nae chuo kimoja lkn nlchoambulia n kuzunguka jiji LA dar tukila stareh na kwenda location mbalimbali kwajl ya pcha .,now nmekuw kifikra ..
Vigezo
Awe mschana wa kawaida umri under24
-elim kuanzia kidato cha4
-awe serious kwl na siitaj wadada wa picha za location
-awe anajielewa na mweny mpmz ya dhat


Pia kwa watakao beza na penda niwakumbushe mapnz n popote ayana actual location..na pia waloweka thread hii so wajinga wanaelewa kuwa matukio ya kupatwa kwa mapnz sehem yoyote watu wanaeza Paraná na kuanzisha relationship.
 
Eeeeeh wanaume wanaitana Piermu tena!🤣🤣🤣
 
Huo muandiko ndio ulitumia kujibia pepa la UE?
 
Tafuta std Vii msomeshe mpka college awe anakutegemea kwa kila kitu kipindi akiwa masomoni kote naamini atakuwa ana mapenzi ya dhayi achana na hawa waliosoma tayari
 
Back
Top Bottom