Nahitaji mafuta ya mawese niko Mbeya

Nahitaji mafuta ya mawese niko Mbeya

washeby

Member
Joined
May 28, 2015
Posts
32
Reaction score
4
Nahitaji mafuta ya mawese niko Mbeya.

Tafadhali anaefahamu yanapouzwa/kama unauza ni sh.ngapi kwa dumu la lita 20.
 
bei kwa kweli sijui, sikuulizia cause sikuyahitaji...utapata either Kyela au kwa hapo mjini sokoni Soko Matola niliyaona au unaweza ulizia soko kuu pale Mwanjelwa
 
mtafutaji wa mafuta ya mawese kama upo sirius nitafute
 
Write your reply... nipo Mwanza nahitaji mafuta ya mawese naomba msaad kwa aliyepo mbeya jaman
 
Write your reply... nipo Mwanza nahitaji mafuta ya mawese naomba msaad kwa aliyepo mbeya jaman

Mwanza ni krb na Kigoma kuliko Mbeya, ssa wewe unataka wesse la kutoka Mbeya na sio Kigoma kwa waha wabishi
 
Back
Top Bottom