tatizo mchakato ni mrefu sana kuipatanenda office yoyote ya tigo hizo line zinatolewa bure, haziuzwi.
atakayekuuzia itakuwa na jina lake anytime atareport imepotea then ata-renew utabaki na line isiyofanya kazi na hautaweza kureport popote kwasababu haijasajiliwa kwa jina lako.
Asante kiongoz kwa ushauri...ntafanya hvyonenda office yoyote ya tigo hizo line zinatolewa bure, haziuzwi.
atakayekuuzia itakuwa na jina lake anytime atareport imepotea then ata-renew utabaki na line isiyofanya kazi na hautaweza kureport popote kwasababu haijasajiliwa kwa jina lako.