Nahitaji laptop

Nahitaji laptop

clemence mtei

Senior Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
103
Reaction score
31
Nahitaji laptop kwa ajili ya matumizi ya chuo Kwanza iwe inatumia Window,Size iwe na GB 250 betri nzuri hata uwezo wa kukaa na chaji masaa sita,RAM angalau GB 4,CPU iwe Pentium Intel, keyboard yake iwe inatouch vizuri(Touch pad),display angalau 1366×768 au 1600×900 fingerprint,webcamera na touch nitazingatia nina 500k
 
Nahtaji laptop kwa ajili ya matumizi ya chuo Kwanza iwe inatumia Window,Size iwe na GB 250 -
Betri nzuri hata uwezo wa kukaa na chaj masaa sita,RAM angalau GB 4,CPU iwe Pentium Intel,Keyboard yake iwe inatouch vzuri(Touch pad),Display angalau 1366×768 au 1600×900.
Fingerprint,Webcamera na touch nitazngatia
Nina 500k
Upo mkoa gani
 
Nahtaji laptop kwa ajili ya matumizi ya chuo Kwanza iwe inatumia Window,Size iwe na GB 250 -
Betri nzuri hata uwezo wa kukaa na chaj masaa sita,RAM angalau GB 4,CPU iwe Pentium Intel,Keyboard yake iwe inatouch vzuri(Touch pad),Display angalau 1366×768 au 1600×900.
Fingerprint,Webcamera na touch nitazngatia
Nina 500k
Angalia hii kuna mdau anauza,iko poa sana nilishanunua kwake model kama hiyo ila HDD yake ni ndogo ntakushauri ununue external HDD kama unahitaji kuweka movies pia ila kama ni kusomea tu inatosha,iko kwenye fashion sana hasa kwa maisha ya chuo.

Ni tablet na ni laptop-ni nzuri sana haijatokea then bei chini sana
 
Hawa watakuwa wasukuma, ndo wanachojua wao laptop ni kwa ajili ya kusomea tu na kuweka notice
Huyu form six bana kasikia chuo lazima uwe na laptop..ye hajui chochote kuhusu laptop...tuache kidogo wasukuma
 
Hawa watakuwa wasukuma, ndo wanachojua wao laptop ni kwa ajili ya kusomea tu na kuweka notice
Sijawahi kuona mtu mwenye akili ndogo kama ww tangu huu mwaka uanze!Nan alikwambia wasukuma ndio wanaotumia laptop tuu unajidhalilisha kwa kucoment utumbo bora ujamaze mie nmesema kwa ajili ya kusoma which is my main objectives au vip nngetaka kwa ajili kitu kingne pia ningetaja acha ushamba wa darasa la saba unajifanya unajua makabila,hata jina hujui kusoma nafkri ungezngatia hlo wala usingenipeka huko
 
Huyu form six bana kasikia chuo lazima uwe na laptop..ye hajui chochote kuhusu laptop...tuache kidogo wasukuma
Akili zako za kushikiwa sasa nan anakusikiliza nenda darasan!embu fuatilia ninapofanya kazi na all that then uone kama kila anaenda kusoma katoka form six!
Umesahau kuna masters,masters deree nk
 
Akili zako za kushikiwa sasa nan anakusikiliza nenda darasan!embu fuatilia ninapofanya kazi na all that then uone kama kila anaenda kusoma katoka form six!
Umesahau kuna masters,masters deree nk
Xa masters mkuu hujui ata basic specs za computer kweli? Utakuwa utani mkuu
 
Akili zako za kushikiwa sasa nan anakusikiliza nenda darasan!embu fuatilia ninapofanya kazi na all that then uone kama kila anaenda kusoma katoka form six!
Umesahau kuna masters,masters deree nk
Pia nitofautishie apo..masters na masters degree..tofauti yake nin?
 
Xa masters mkuu hujui ata basic specs za computer kweli? Utakuwa utani mkuu
Akili zako za o level bado unaandka X to mean S!sijakwambia nasoma masters nmekuonesha tuu sio kwamba kila anaenda shule ni katoka form six na anakwenda kusoma degree!Kumbe hzo nlizotaja hapo juu ni specification za brain yako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom