Nahitaji laptop, i3 au i5.

Nahitaji laptop, i3 au i5.

Maberere

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
316
Reaction score
93
Wakuu nahitaji laptop aina yeyote ila iwe i3 au i5,
Ram 4gb
Hdd 320_500Gb
Iwe inakaa na chaji angalau kwa masaa manne na kuendelea.

bajet yangu ni 400000
 
Tumenunua juzi mahali kwa Million moja na laki tisa. Sasa hio laki nne kwakweli sijui
 
i5 niliikuta Mlimani City bei ilikuwa 2370000/- sasa duh hiyo uliyonayo mkononi ngoja huenda ukapata.
 
kwa laki nne kupata i3 sijui, maan ahata ukizunguka kkoo zitaanzia 700k, kwani wewe unataka brand gani?
 
Asus, hp, Toshiba, Lenovo, Sony au Apple yenyewe!

Hebu tembelea maduka ya msimbazi unaweza kupata TOSHIBA kwa around laki 6-7, hizo nyingine siyo rahisi, Apple ndiyo usahau kabisaa (nadhani ulikuwa unatania).
 
Hebu tembelea maduka ya msimbazi unaweza kupata TOSHIBA kwa around laki 6-7, hizo nyingine siyo rahisi, Apple ndiyo usahau kabisaa (nadhani ulikuwa unatania).
mbna unamkatisha tamaa jamaa!
 
jamani watu wa jamii forum wanapenda vitu vya bei rahisi...waache wapasuke......then watajifunza...wewe mtu ana laki nne anakuambia hata mac corei3 poa tu...hao ndo wanauziwa laptop wanatumia mwenzi m1,then wanaanza kunagaika na mafundi,
 
mbna unamkatisha tamaa jamaa!

Lol, siyo kumkatisha tamaa, ni kumwambia ukweli, kwa bajeti yake ni ngumu sana kupata i3 mpya labda mkononi kwa mtu, sasa yeye anasema hata macbook poa tu...yeh!...macbook i3 ya chini ya millioni siyo rahisi, japo inawezekana maana mi nilishawahi kununua macbook air i3 kwa laki 6.5, dogo mmoja alitumiwa na dada yake ikamshinda kutumia, na kila mtu anayempelekea anasema hajazowea mac....lol!
 
Andaa 650,000 cash bila chenga nikuuzie dell yangu.
Specifications
i3, 2gb ram, 320hdd, black, screen size 14'' ,nimeitumia kwa miaka2 sasa.pia nna risiti yake ya manunuzi.
still in amazing condition.
 
Andaa 650,000 cash bila chenga nikuuzie dell yangu.
Specifications
i3, 2gb ram, 320hdd, black, screen size 14'' ,nimeitumia kwa miaka2 sasa.pia nna risiti yake ya manunuzi.
still in amazing condition.



Hiyo laki sita na nusu c bora angeenda dukani tu
 
Andaa 650,000 cash bila chenga nikuuzie dell yangu.
Specifications
i3, 2gb ram, 320hdd, black, screen size 14'' ,nimeitumia kwa miaka2 sasa.pia nna risiti yake ya manunuzi.
still in amazing condition.
miaka miwili bado unaiuza bei ya dukan!?
 
HP Probook, i7 kwa 1.1 mill, hii bei nilipigwa ama nili pata bahati?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom