Mkuu wewe ni buyer au ? Ntaku pm # yangu maana kuna mahali ipoWana jamvi.....
bado natafuta gari aina ya Land Rover 109
kwa mwenye nayo au taarifa kwa anaeiuza, naomba tuwasiliane
Offer yako ngapi? Vipi Defender 110 huna interest nayo?
hiyo 110 ni wagon au pickup? nataka pickup lakini zile fupi!
Fupi agiza zinakotoka mkuu...kwanza nimeahirisha biashara hakuna tena...
Khaaaa!!! This is JF banah
mi nataka used bongo. hyo yyako ilkuwa sokoni au umeona noti ukaztamani tu?Fupi agiza zinakotoka mkuu...kwanza nimeahirisha biashara hakuna tena...
mi nataka used bongo. hyo yyako ilkuwa sokoni au umeona noti ukaztamani tu?