poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 456
- 175
wadau wa jukwaa habari
Nimepata simu ya HTC herm200 na nahitaji kuiunganisha na computer yangu lakini nikiichomeka na usb cable haionekani.Lakini nimesikia kuna software lazima uinstall kwanza kwenye pc halafu ndo simu itaonekana.Kama ni hivyo ni software gani inahitajika na nawezaje kuipata.Na vile vile button za nje hazifanyi kazi sijajua ni setting au ni mbovu button zake.Naomba msaada wenu wakuu.Na kama kuna ziada si vibaya mkaniongezea kuhusu hii simu
Nimepata simu ya HTC herm200 na nahitaji kuiunganisha na computer yangu lakini nikiichomeka na usb cable haionekani.Lakini nimesikia kuna software lazima uinstall kwanza kwenye pc halafu ndo simu itaonekana.Kama ni hivyo ni software gani inahitajika na nawezaje kuipata.Na vile vile button za nje hazifanyi kazi sijajua ni setting au ni mbovu button zake.Naomba msaada wenu wakuu.Na kama kuna ziada si vibaya mkaniongezea kuhusu hii simu