Nahitaji kutengeneza bahasha

Nahitaji kutengeneza bahasha

mosesfrank

Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
40
Reaction score
12
Naitaji kutengeneza bahasha zile ambazo watyu uwa wanafungia vyakula wana wekea bidhaa kama simu mafuta n.k

Msaada wangu nikujua namna ya ukinjaji wazile bahasha na je.upatikanaji Wa malighafi zake upoje
 
Material yanapatikana eneo gani kwa pale kkoo?, mi pia muhitaji mkuu
 
Wanauza stationary kwa ajili ya majarada au agiza mgororo kiwandani...

Kujifunza jitupie YouTube
 
Fungu na zile za kaki wanazo zunguka nazo wateja nao wameongezeka maradufu
 
Fungu na zile za kaki wanazo zunguka nazo wateja nao wameongezeka maradufu
Sawa brother sema nime check you tube sipata kuona namna ya ukunjanji wake kama una weza kunielekeza utakua umenisaidia and naitaji kujua gundi inayo tumika apo ni ipi ile ya maji au
 
Unaweza niambia ntamwagiza mtyu au naweza kwenda mwenyewe naitaji kupajua
 
Back
Top Bottom