Nahitaji kusoma open university... Utaratibu ukoje?

Nahitaji kusoma open university... Utaratibu ukoje?

Joined
Jan 17, 2017
Posts
86
Reaction score
95
Kama mada ilivyo... Mimi nilisoma Diploma na niko kazini tayari. Nimeshakuwa na familia tayari. Nahitaji kujiendeleza kielimu ila kutokana na mambo ya familia nahitaji nisome wakati naendelea na kazi.

Naombeni ushauri namna ya kujiunga na chuo kikuu huria na changamoto zake kwa wanaofahamu
 
Kama upo Dar Nenda pale Biafra ni tawi la Open university mkoa wa Dar es salaam, utapata maelezo kwa kina.
Wee uko sehemu gani? Tanzania
 
Pigia huyu kiumbe, MGASA RUSIMBI BATEGA 0713606075, anasoma open University Dar es Salaam brunch atakupa mganganyo mzima
 
Nipo nachingwea kwa sasa ila root zangu nyingine huwa za MASASI MTWARA

Pale Mtwara mnarani opposite na ile bar ya fire kubwa pale ni tawi LA open university. Nenda pale kuna Juma, na Generose watu wazuri sana hao watakusaidia sana.
 
Back
Top Bottom