Aiseeππ
Niliiva mpk nikaungulia uwanja wa damu, π€£ π€£ ma niaje hayatoki kwa raiaAcha kumbania kitu umepewa bure peana bure in Kenyatta's voiceπ
Tunasubiri uzi wako kwa hamu Love ConnectNiliiva mpk nikaungulia uwanja wa damu, π€£ π€£ ma niaje hayatoki kwa raia
Hongera kwa maamuzi magumu, ila kwa idara ulipo jitahidi kuandika kama mwelimishaji ili kuakisi na kuitendea haki taaluma yakoHello! Nahitaj kupata mwanaume ambaye yuko tayar kuanza maisha ya ndoa, sifa zangu
1. Nina miaka 31
2. Mnene kiasi
3. Nina elimu ya degree niko idara ya elimu
4. Sina mtoto
5. Mweusi sio mrefu sana
6. Mkristu(catholic)
7. Ninaishi Dar, na ninafanya kaz Dar
Sifa za mwanaume ninayemwitaji
1. Awe mweusi
2. Awe mkristu mwenye miaka 34-40
3. Kama ni mtoto awe naye 1 itakuwa poa
4. Awe anafanya kazi, maana maisha ni kusaidiana, pia awe anaishi DAR
sichagui kabila, plz naomba mtu ambaye yuko tayari.
Asanteni
Hiloooππ€£π€£πwacha weee, okee siwezi kujidanganya koz mimi sifanyi kujaribu, no room for cheap moves, endelea kutafuna cheap dawiliz, hili fupa waachiea mafisi Pro π€£ π€£
Mnasubiri nini? kuwa kwenye kamati? π€£ π€£Tunasubiri uzi wako kwa hamu Love Connect
Tatizo ni umri unazuzua wadada wengi,dunia ya leo ni ngumu kukuta mwanamke below 25 akikubali kuolewa wengi wana masharti mengi sababu wana access kubwa ya wanaume baadae wakichuja ndio haya hutokea,wakiulizwa hoja yao wanawake ni wengi kuliko wanaume japo takwimu za sensa zinaonesha tunakaribiana sana interms of percentage,hata mimi kuna kidemu niko nacho kina 22 niko tayari kukioa hata sasa ivi ila drama zake sasa,mara nataka kwenda uk kwa mamdogo nikafanye kazi mwaka mmoja nikirudi ndio tufanye maisha,mara ooh nizae na miaka 22 mh badoHumu mtu anatafuta ndoa bado hayuko tayari kuingia kwenye ndoa, wengi wana maringo sana sijui shida nini. Maisha ni mipango tu mnachagua sana mwisho wa siku mnakosa vyote.
Mi sifa zote ninazo ila sitaki kufanya kaziHello! Nahitaj kupata mwanaume ambaye yuko tayar kuanza maisha ya ndoa, sifa zangu
1. Nina miaka 31
2. Mnene kiasi
3. Nina elimu ya degree niko idara ya elimu
4. Sina mtoto
5. Mweusi sio mrefu sana
6. Mkristu(catholic)
7. Ninaishi Dar, na ninafanya kaz Dar
Sifa za mwanaume ninayemwitaji
1. Awe mweusi
2. Awe mkristu mwenye miaka 34-40
3. Kama ni mtoto awe naye 1 itakuwa poa
4. Awe anafanya kazi, maana maisha ni kusaidiana, pia awe anaishi DAR
sichagui kabila, plz naomba mtu ambaye yuko tayari.
Asanteni
Kamati tena? ππMnasubiri nini? kuwa kwenye kamati? π€£ π€£
Tatizo ni umri unazuzua wadada wengi,dunia ya leo ni ngumu kukuta mwanamke below 25 akikubali kuolewa wengi wana masharti mengi sababu wana access kubwa ya wanaume baadae wakichuja ndio haya hutokea,wakiulizwa hoja yao wanawake ni wengi kuliko wanaume japo takwimu za sensa zinaonesha tunakaribiana sana interms of percentage,hata mimi kuna kidemu niko nacho kina 22 niko tayari kukioa hata sasa ivi ila drama zake sasa,mara nataka kwenda uk kwa mamdogo nikafanye kazi mwaka mmoja nikirudi ndio tufanye maisha,mara ooh nizae na miaka 22 mh bado
Acha kudate na vitoto kwa lengo la ndoa.Tunafanana mku
Hi ni changamoto yao kubwa
Basi naomba nkuowe weweAcha kudate na vitoto kwa lengo la ndoa.
Nashauri wadada muwe na mahusiano mazuri na wanaume munaowaona uko mliko ao ndo wakuwaoa sio sisi wa mitandaoni,muwaheshimu narudia ao ndo perfect ,shida mnawadharau kwakuwa mko nao job au mtaani ,waheshumuni ao ndo waume wenuutapata
Hello! Nahitaj kupata mwanaume ambaye yuko tayar kuanza maisha ya ndoa, sifa zangu
1. Nina miaka 31
2. Mnene kiasi
3. Nina elimu ya degree niko idara ya elimu
4. Sina mtoto
5. Mweusi sio mrefu sana
6. Mkristu(catholic)
7. Ninaishi Dar, na ninafanya kaz Dar
Sifa za mwanaume ninayemwitaji
1. Awe mweusi
2. Awe mkristu mwenye miaka 34-40
3. Kama ni mtoto awe naye 1 itakuwa poa
4. Awe anafanya kazi, maana maisha ni kusaidiana, pia awe anaishi DAR
sichagui kabila, plz naomba mtu ambaye yuko tayari.
Asanteni
πββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈBasi naomba nkuowe wewe
ππββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈπββοΈββ‘οΈ