Nahitaji kuoa

Nahitaji kuoa

Joined
Apr 10, 2012
Posts
34
Reaction score
3
Nahitaji mke mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 33. Awe mkristo, elimu f6 na kuendelea. Awe na mwili wa wastani.

Kama una nia ya dhati ni pm tafadhari tuongee zaidi.
 
Akishakuwa mkristo ndo haingii sayarini?Mods Ondoa upuuzi huu hili sio jukwaa lakutafuta wanawake/wanaume aende f*b
 
Samahani! Kwa Hilo Hata Waislam Mwakaribishwa Dah! Ckujua Kama Nitawanyima Nafasi Kiasi Hicho. Naam Mapenzi Ni Majani Popote Huota Hayajali Rangi Dini Wala Kabila. Ni Fasiri Ya Nidhamu Na Mapendo Kwa Wale Wapendanao.
 
Nahitaji Mke Mwenye Umri Kuanzia Miaka 28 Hadi 33. Awe Mkristo, Elimu F6 Na Kuendelea. Awe Na Mwili Wa Wastani. Kama Una Nia Ya Dhati Ni Pm Tafadhari Tuongee Zaidi.

Umri Mimi miaka 21 afu elimu ya darasa la Saba B vp itawezekana kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom