NAKEMBETWA JF-Expert Member Joined Apr 20, 2012 Posts 3,517 Reaction score 3,138 Sep 3, 2017 #1 Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app
M Mangi flani hivi JF-Expert Member Joined Jan 2, 2016 Posts 2,026 Reaction score 3,111 Sep 3, 2017 #2 Mcheki jerry Muro.... Aliwahi kudakwa nazo.
NAKEMBETWA JF-Expert Member Joined Apr 20, 2012 Posts 3,517 Reaction score 3,138 Sep 3, 2017 Thread starter #3 Mangi flani hivi said: Mcheki jerry Muro.... Aliwahi kudakwa nazo. Click to expand... Alidakwa kwa kosa la kuwa na Pingu, au alidakwa akafungwa nazo? Sent using Jamii Forums mobile app
Mangi flani hivi said: Mcheki jerry Muro.... Aliwahi kudakwa nazo. Click to expand... Alidakwa kwa kosa la kuwa na Pingu, au alidakwa akafungwa nazo? Sent using Jamii Forums mobile app
likandambwasada JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 5,402 Reaction score 6,085 Sep 3, 2017 #4 Nenda CENTRAL
Kajolijo JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 3,364 Reaction score 4,618 Sep 3, 2017 #5 Unataka kumkatata nani
M Mangi flani hivi JF-Expert Member Joined Jan 2, 2016 Posts 2,026 Reaction score 3,111 Sep 3, 2017 #6 NAKEMBETWA said: Alidakwa kwa kosa la kuwa na Pingu, au alidakwa akafungwa nazo? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ipo clear sana, Haina ambiguity kubwa. Alikamatwa akiwa anamiliki pingu kinyume na sheria. Kama walitumia pingu hizo kumfunga Sijui.
NAKEMBETWA said: Alidakwa kwa kosa la kuwa na Pingu, au alidakwa akafungwa nazo? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ipo clear sana, Haina ambiguity kubwa. Alikamatwa akiwa anamiliki pingu kinyume na sheria. Kama walitumia pingu hizo kumfunga Sijui.
Perfectz JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 9,568 Reaction score 29,666 Sep 3, 2017 #7 ETI ANATAKA PINGU KWA MATUMIZI YAKE BINAFSI.Sijui anataka kuwa tapeli
Sopa de pollo JF-Expert Member Joined Dec 1, 2016 Posts 461 Reaction score 419 Sep 3, 2017 #8 Unakembetwa? Sent using Jamii Forums mobile app
Abdallahkova JF-Expert Member Joined Apr 19, 2017 Posts 1,154 Reaction score 1,128 Sep 3, 2017 #9 NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu kama unamiliki bostola kihalali mbona napingu unapewa . Sent using Jamii Forums mobile app
NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu kama unamiliki bostola kihalali mbona napingu unapewa . Sent using Jamii Forums mobile app
strugo JF-Expert Member Joined Apr 22, 2017 Posts 1,235 Reaction score 1,839 Sep 3, 2017 #10 Hizo haziuzwi nenda Kwa fundi vyuma akuchongeshee yako Don't mind me
makinikia 101 JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 491 Reaction score 876 Sep 3, 2017 #11 Likipita difenda hapo kitaa kwako lisimamishe uulize wao wananunuaga wapi mkuu
alexis jr JF-Expert Member Joined Sep 28, 2014 Posts 391 Reaction score 343 Sep 3, 2017 #12 Mkuu nahisi anataka amfunge shemeji wakati wa kwichikwichi DPP
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,159 Reaction score 72,199 Sep 3, 2017 #13 NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu unataka kuanzisha kampeni ya kuteka watu nini?
NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu unataka kuanzisha kampeni ya kuteka watu nini?
Rebeca 83 JF-Expert Member Joined Jun 4, 2016 Posts 15,475 Reaction score 33,038 Sep 3, 2017 #14 Acha kuanalia porn mkuu.....
W wa hapahapa JF-Expert Member Joined Aug 22, 2012 Posts 7,460 Reaction score 4,402 Sep 3, 2017 #15 zipo za plastic... naamin unaweza kuagiza tokea china au ukaweka oda pale chemicotex...
M mpolamwihi Member Joined Oct 24, 2016 Posts 33 Reaction score 30 Sep 3, 2017 #16 Nenda duka la siraha pale Tanganyika Army pale station karibu na central polisi wanauza 80,000 tu Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda duka la siraha pale Tanganyika Army pale station karibu na central polisi wanauza 80,000 tu Sent using Jamii Forums mobile app
Mweusi Mweupe JF-Expert Member Joined Mar 21, 2017 Posts 332 Reaction score 322 Sep 3, 2017 #17 Kwan umeacha ka NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... I NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kwan umeacha kazi TAKUKURU?
Kwan umeacha ka NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... I NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kwan umeacha kazi TAKUKURU?
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 26,949 Reaction score 41,549 Sep 3, 2017 #18 NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... uzifanyie nini? kwani wewe ni askari
NAKEMBETWA said: Wakuu nina hitaji kumiliki Pingu kwa matumizi yangu binafsi, je naruhusiwa kununua na wapi zinapatikana? [HASHTAG]#maisha[/HASHTAG] kusaidiana wadau! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... uzifanyie nini? kwani wewe ni askari
NAKEMBETWA JF-Expert Member Joined Apr 20, 2012 Posts 3,517 Reaction score 3,138 Sep 3, 2017 Thread starter #19 strugo said: Hizo haziuzwi nenda Kwa fundi vyuma akuchongeshee yako Don't mind me Click to expand... Kwann haziunzwi mkuu, mbona bunduki, bastola zinauzwa? Sent using Jamii Forums mobile app
strugo said: Hizo haziuzwi nenda Kwa fundi vyuma akuchongeshee yako Don't mind me Click to expand... Kwann haziunzwi mkuu, mbona bunduki, bastola zinauzwa? Sent using Jamii Forums mobile app
NAKEMBETWA JF-Expert Member Joined Apr 20, 2012 Posts 3,517 Reaction score 3,138 Sep 3, 2017 Thread starter #20 Joseverest said: Mkuu unataka kuanzisha kampeni ya kuteka watu nini? Click to expand... Nina Matumizi nayo ya kawaida tu mkuu! Sent using Jamii Forums mobile app
Joseverest said: Mkuu unataka kuanzisha kampeni ya kuteka watu nini? Click to expand... Nina Matumizi nayo ya kawaida tu mkuu! Sent using Jamii Forums mobile app