Nahitaji kukodi Suzuki Carry

Nahitaji kukodi Suzuki Carry

kipipili

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
1,587
Reaction score
187
Jamani mwenye Suzuki carry anikodishe kwa mwezi nipo Mbeya.
 
Niko nayo moja namna DDQ sema offer yako na kazi yako, iko sokoni niuza. naiuza kwa 7.5m bei ya hasara kabisa maana nimeinunua kwa 8.5
 
jamani mwenye suzuki carry anikodishe kwa mwezi nipo mbeya
Niko nayo moja namna DDQ sema offer yako na kazi yako, iko sokoni niuza. naiuza kwa 7.5m bei ya hasara kabisa maana nimeinunua kwa 8.5
 
sema mkuu tuzungumze

1.8M kama utanirudishia nzima, kama itakuwa damaged utaitengeneza kwa gharama zako.....tutatengeneza mkataba wenye terms za utunzaji wa gari.....kama upo poa niPM
 
Niko nayo moja namna DDQ sema offer yako na kazi yako, iko sokoni niuza. naiuza kwa 7.5m bei ya hasara kabisa maana nimeinunua kwa 8.5
mkuu kazi yake itakuwa kubeba wafanyakazi kuwapeleka na kuwarudisha site,
 
jamani mwenye suzuki carry anikodishe kwa mwezi nipo mbeya

Je itakuwa inabeba watu wangapi? Bado najiuliza kwa nini ukodi pick up kwa ajili ya kubeba watu. Mimi ninayo lakini nahitaji majibu ya maswali hayo kabla ya kuamua kukukodisha.
 
Je itakuwa inabeba watu wangapi? Bado najiuliza kwa nini ukodi pick up kwa ajili ya kubeba watu. Mimi ninayo lakini nahitaji majibu ya maswali hayo kabla ya kuamua kukukodisha.
mkuu ni kubeba watu ambao ni wafanyakazi kuwapeleka site na kuwarudisha. itakuwa inabeba watu 10 mkuu
 
Hapo kwenye terms za utunzaji pamenigusa NADHANI si vibaya tukashare experience kwani nami ni mdau wa hiyo biashara.Natamani kwa sisi wenye magari (tunaokodisha) tukashare jinsi ya kuziba loop holes katika mikataba tunaoingia na wateja wetu. Kuna mambo ambayo wakati mwingine wanasheria wanaya ommit ktk mikataba lakini ni muhimu sana kama hilo ulilolitaja. Ahsante
1.8M kama utanirudishia nzima, kama itakuwa damaged utaitengeneza kwa gharama zako.....tutatengeneza mkataba wenye terms za utunzaji wa gari.....kama upo poa niPM
 
Je itakuwa inabeba watu wangapi? Bado najiuliza kwa nini ukodi pick up kwa ajili ya kubeba watu. Mimi ninayo lakini nahitaji majibu ya maswali hayo kabla ya kuamua kukukodisha.

Mkuu majibu nimeshatoa, umeyaona na yamekuridhisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom