sikuwahi kuipenda degree course yangu hadi nilipokuja kutana na hii course ya microcontrollers and microprocessors, hapa msaada utapata japo si kiivyo. Nnavyo vifaa vichache ila vinatosha kwa ajiri ya first few experiments. Nipo na jamaa ambao tumeamua fungua laboratory, itaanza online na materials yatakuwa free, i cant say how soon sababu kila mmoja wetu anamajukumu yake kikazi, ila haitochukua muda mrefu sana. Stay tuned for super engineers laboratory.
View attachment 130889
Mkuu,kama una idea ya C programming language ya darasani,kwako ni rahisi zaidi ku-program microcontrollers. Nakushauri uanze kujifunza PIC Microcontorollers ambazo zinapatikana kirahisi,ujifunze hardware architecture zake.Unaweza ukajifunza wewe mwenyewe ukipata tutorials nzuri na ukachagua compiler kati ya Hi-tech PICC+MPLAB IDE au Microc for PIC, ambayo unaielewa vizuri. Kwa upande wa simulation,schematics na PCB design,unaweza kutumia Proteus ISS.asante kwa kuonyesha moyo wa kunisaidia
nina idear na c language ya darasani nimekua nikisoma how to carry out project of embededy systm .hivyo sina ufaham mkubwa jins ya kuprogram na kudzn circuit.hivyo nahitaji kama unafaham naomba pia ushauri nianzir wap na niishir wap.nawasilisha mkuu
Pamoja Mkuuasante kwa kuwapata watu kama nyie mnaependa electronics, mim cjasomea electronics ila ni talent yangu 2. Na kuna mtaalamu mmoja kutoka indonesia ndo uwa ananielekeza, na sasa nataka kutengeneza digital amplifier .sasa kama hata watanzania 2po ktk hii fani 2we 2naelekezana maana uwa naboreka kuona vitu vingi vya electronics vinatoka nje wakat vingine ni simple tu