Nahitaji kuchimbiwa kisima cha maji

Nahitaji kuchimbiwa kisima cha maji

buthabutha

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
659
Reaction score
397
Naitaji kufahamu gharama ya kisima kirefu cha maji, nikifahamu bei yake basi nitaitaji nipate kisima SIMIYU bariadi

Karibuni wataalamu
 
Wachimbaji wanachimba kwa mita so itategemea maji yatapatikana urefu gani lkn around 30,000/- hadi 50,000/- kwa mita moja hyo bei inajumuisha mpk completion na casing
 
Wachimbaji wanachimba kwa mita so itategemea maji yatapatikana urefu gani lkn around 30,000/- hadi 50,000/- kwa mita moja hyo bei inajumuisha mpk completion na casing
Wanaweka pamoja na pump au hapo ni nje ya pump mkuu?
 
Musoma nani anaweza kufanya Kazi hio ya kuchimba visima??

Kama yupo ni-pm tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom