Nahitaji korosho zilizobanguliwa

Nahitaji korosho zilizobanguliwa

Abby Senior

Senior Member
Joined
Feb 14, 2015
Posts
154
Reaction score
60
Hali zenu wadau naomba kuuliza wapi nitapata korosho zilizibanguliwa kwa wingi, nahitaji kununua kwa wingi, kama kuna mhusika au anafahamu wapi zinapatikana naomba anijulishe
 
kiongozi nipo masasa mzee babai mtwara utazipata kirahisi sana ok find me kama upo serious guy fanya fasta kwani msimu ndo wataka kuanz
 
Naitaji korosho nipo dar kwa anzia kilo 500 mpaka tani 20,..ukiwa nazo ni pm tufanye biashara,
 
Hali zenu wadau naomba kuuliza wapi nitapata korosho zilizibanguliwa kwa wingi, nahitaji kununua kwa wingi, kama kuna mhusika au anafahamu wapi zinapatikana naomba anijulishe
Njoo pm
 
Kuna mtu anahitaji korosho zilizobanguliwa kwa wingi kama Una Uhakika ni pm tuzungumze tuone namna gani ya kuyajenga

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom