Nahitaji kiwanja majani mapana Tanga

Majizi yote utasikia njoo PM. Wakomalie waweke hapahapa details zote na ufanye bargaining kabisa ndipo uwaombe namba kwa utakayeridhika naye. Tanga kwa maji, huu msimu wa mvua ndio komaa upate cha ukweli....lasivyo utaambulia kwenye dimbwi la maji
 
Majizi yote utasikia njoo PM. Wakomalie waweke hapahapa details zote na ufanye bargaining kabisa ndipo uwaombe namba kwa utakayeridhika naye. Tanga kwa maji, huu msimu wa mvua ndio komaa upate cha ukweli....lasivyo utaambulia kwenye dimbwi la maji
Loooh tanga hakun madimbwi ya basi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom