Nahitaji Kiwanja kwenye mradi Tuangoma Kigamboni

Nahitaji Kiwanja kwenye mradi Tuangoma Kigamboni

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,554
Reaction score
2,160
Wadau! Nahitaji Kiwanja maeneo ya Tuangoma Kigamboni kwenye mradi wa viwanja,Kisipungue Square metre 800. Kiwe na Offer au Hati. Nawasilisha.
 
Nipo nje ya nchi unaweza uka-
PM? pia kuna m2 wangu yupo Dar atakupigia
 
Nahitaji Kiwanja.Specs atlist 900m2
1.Kibada
2.Mikwambe
3.Tuangoma

My Budget:: 8m
 
hivi viwanja vinapimwa na serikali,haina haja ya kununua kwa mtu.mimi nimechukua kimoja
 
hivi viwanja vinapimwa na serikali,haina haja ya kununua kwa mtu.mimi nimechukua kimoja

Vipi nikucheck unipe maelezo na mimi naweza kupataje??Tafadhali naomba msaada wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom