Nahitaji kiwanja kwa haraka

Nahitaji kiwanja kwa haraka

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,780
Wakuu,

Nahitaji kiwanja kilichopimwa na chenye hati kuanzia sqm 1500 eneo lolote DSM, budget 10 mil

NiPM for more details
 
10M kiwanja kilichopimwa?? labda uende mikoani, hata ambacho hakijapimwa kwa hizo sq m huwezi pata
 
Wakuu,

Nahitaji kiwanja kilichopimwa na chenye hati kuanzia sqm 1500 eneo lolote DSM, budget 10 mil

NiPM for details
Kilichopimwa sio rahisi mkuu uliza hati yenyewe kuipata inachukua mda gani? Juzi tu rafiki yangu kanunua kiwanja 45mill maeneo ya Goba na hakina hati.
 
Kilichopimwa sio rahisi mkuu uliza hati yenyewe kuipata inachukua mda gani? Juzi tu rafiki yangu kanunua kiwanja 45mill maeneo ya Goba na hakina hati.

Goba gani mkuu ba ukubwa gani?,
 
Wakuu,

Nahitaji kiwanja kilichopimwa na chenye hati kuanzia sqm 1500 eneo lolote DSM, budget 10 mil

NiPM for details

Ninavyo vyenye offer Kigamboni Mwasonga mbele ya mradi wa maji wa Dawasco. Ni km 31 kutoka ferry na viko karibu na barabara kuu, gari linafika mpaka kwenye eneo. Bei ni sh. 10,000 kwa square meter.
 
Wakuu,

Nahitaji kiwanja kilichopimwa na chenye hati kuanzia sqm 1500 eneo lolote DSM, budget 10 mil

NiPM for details

Rafiki yangu anacho sqm 1228, jirani na Pugu sec. Offer bado inashughulikiwa. Bei mil.15; maelezo. zaidi njoo pm.
 
Mkuu hiyo ni hela nzuri utapata japokua kinaweza kisiwe na hati labda offer lakin sehemu ambayo ni surveyed,ukiwa na hela cash we ni mfalme tulia utapata,usisikilize mikwara hapa kuna watu wanauzaga hadi na nyumba kwa hela zinazozidi hapo kidogo tu inategemea mtu anahitaj hela kwa uharaka gani, ila ishu za ASAP utakuja kununua makaburi au masoko.
 
ninacho kisarawe si mbali na pale stend bodaboda nauli 1ooo ukubwa 40*25 kina hati 10m nakupa
 
Mkuu hiyo ni hela nzuri utapata japokua kinaweza kisiwe na hati labda offer lakin sehemu ambayo ni surveyed,ukiwa na hela cash we ni mfalme tulia utapata,usisikilize mikwara hapa kuna watu wanauzaga hadi na nyumba kwa hela zinazozidi hapo kidogo tu inategemea mtu anahitaj hela kwa uharaka gani, ila ishu za ASAP utakuja kununua makaburi au masoko.

Hahahah mkuu umenichekesha na ushauri wako mzuri nitauzingatia
 
Mkuu hiyo ni hela nzuri utapata japokua kinaweza kisiwe na hati labda offer lakin sehemu ambayo ni surveyed,ukiwa na hela cash we ni mfalme tulia utapata,usisikilize mikwara hapa kuna watu wanauzaga hadi na nyumba kwa hela zinazozidi hapo kidogo tu inategemea mtu anahitaj hela kwa uharaka gani, ila ishu za ASAP utakuja kununua makaburi au masoko.

Kweli tupu ukiwa na hela usifanye haraka. Mimi nanunua viwanja kwa dizaini hiyo.
 
ongeza mili 5 hapo nikupe kiwanza kizuri sana
kikubwa sana kwa dar
 
Njoo buyuni ya chanika vipo vingi vilivopimwa na serikali. Kwa bei hiyo unapata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom