Nahitaji kiwanja, kiwe nje ya mji

Nahitaji kiwanja, kiwe nje ya mji

Bajet 1.5m
Mkuu njoo nikuuzie kipo Kiwawe,unashukia Mvuti ulizia usafiri wa Dondwe,ukifika Dondwe ni Beep nitakupigia nitakupeleka mchanga unapata hapao hapo maji yapo ya kutosha na miti.
Karibu uchungulie Furs na kwa hela hiyo nitakukatia pakubwa .
Baadae watajua umuhimu.
Kausha.
 
Njoo Chalinze (pingu) nitakuuzia hekali 2 kwa 1.5m. Sms 0689095488 ntakupigia
 
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,


Bei: 4.5M.

Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.

Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora.
Kiwanja #29 & #30 Bado vinapatikana. Unajenga na kuhamia Leo leo bila kusubiria Umeme na Maji.






IMG_1481703734.372220.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom