wannabe Member Joined May 30, 2017 Posts 15 Reaction score 9 Jan 28, 2018 #1 Husika na mada apo juu kma unacho ni check pm
Msingida JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,569 Reaction score 12,208 Jan 28, 2018 #2 Ushauri wangu,itupe hiyo simu. Hiyo kioo pamoja na touch ni ghali kuliko simu yenyewe
kagombe JF-Expert Member Joined Mar 1, 2015 Posts 3,624 Reaction score 1,826 Jan 28, 2018 #3 wannabe said: Husika na mada apo juu kma unacho ni check pm Click to expand... Kikoo 150 njoo whatsapp
wannabe said: Husika na mada apo juu kma unacho ni check pm Click to expand... Kikoo 150 njoo whatsapp
Ngosha255 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2013 Posts 430 Reaction score 512 Jan 28, 2018 #4 Na mimi natafuta kioo+touch ya Samsung galaxy s5 [HASHTAG]#sorry[/HASHTAG] kwa kuingilia tangazo
dronedrake JF-Expert Member Joined Dec 25, 2013 Posts 24,602 Reaction score 60,852 Jan 28, 2018 #5 nunua mpya tu, maana bei utakuta 150,000/- wakati bei ya sim mkononi 180,000/-
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 18,552 Reaction score 21,685 Jan 28, 2018 #6 Kuna mtu anacho nilikuwa nataka nimpe number yako alafu wewe unataka pm? Kumbukeni wengine wanaingia kama guest
Kuna mtu anacho nilikuwa nataka nimpe number yako alafu wewe unataka pm? Kumbukeni wengine wanaingia kama guest
wannabe Member Joined May 30, 2017 Posts 15 Reaction score 9 Jan 28, 2018 Thread starter #7 dronedrake said: nunua mpya tu, maana bei utakuta 150,000/- wakati bei ya sim mkononi 180,000/- Click to expand... Duh! Bora niisamehe tu
dronedrake said: nunua mpya tu, maana bei utakuta 150,000/- wakati bei ya sim mkononi 180,000/- Click to expand... Duh! Bora niisamehe tu
wannabe Member Joined May 30, 2017 Posts 15 Reaction score 9 Jan 28, 2018 Thread starter #8 Donnie Charlie said: Kuna mtu anacho nilikuwa nataka nimpe number yako alafu wewe unataka pm? Kumbukeni wengine wanaingia kama guest Click to expand... Mkuu kwa bei zake nimesha surrender bora nikatafute mpya tu
Donnie Charlie said: Kuna mtu anacho nilikuwa nataka nimpe number yako alafu wewe unataka pm? Kumbukeni wengine wanaingia kama guest Click to expand... Mkuu kwa bei zake nimesha surrender bora nikatafute mpya tu
wannabe Member Joined May 30, 2017 Posts 15 Reaction score 9 Jan 28, 2018 Thread starter #9 Msingida said: Ushauri wangu,itupe hiyo simu. Hiyo kioo pamoja na touch ni ghali kuliko simu yenyewe Click to expand... Nimeshaona nikanunue mpya tu
Msingida said: Ushauri wangu,itupe hiyo simu. Hiyo kioo pamoja na touch ni ghali kuliko simu yenyewe Click to expand... Nimeshaona nikanunue mpya tu
I Iglesias JF-Expert Member Joined May 29, 2017 Posts 424 Reaction score 497 Nov 24, 2019 #10 Mkuu niuzie hiyo motherboard.
V Voxwiser JF-Expert Member Joined Aug 14, 2017 Posts 1,094 Reaction score 1,360 Nov 24, 2019 #11 Anaetaka battery na circuit ya w5 anichek kioo na touch yake najanga