cobra poison
Member
- Sep 14, 2016
- 32
- 12
Mwenye kioo cha tecno W4 aje tuzungumze ila kiwe cheap kidogo maana hali imebana
Upo sehem gani Mkuu?Mwenye kioo cha tecno W4 aje tuzungumze ila kiwe cheap kidogo maana hali imebana
hayo masimu ma bovu mnooo ni hodari kwa ku staki staki yaan yanakera nazani safari hii ndio mara ya kwanza na mwisho kutumia mi tecno OVYOOOOOOOOOOOOO
kumbe nawe ni mtumiaji wa tecno. Cm za walimu hizo