Nahitaji kioo cha sony xperia m

Nahitaji kioo cha sony xperia m

KICHWA BOX

Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
21
Reaction score
0
Habari wakuu wa hili jukwaa,nahitaji Front Glass ya Sony Xperia M, NAWASILISHA.
 
Ni kioo ndugu yangu mana kina cracks,upande wa touch inapga kazi tu fresh
 
Ni kioo ndugu yangu mana kina cracks,upande wa touch inapga kazi tu fresh

kioo kikiwa kibovu usingeona kitu kabisa, hio ni front glass tu. njia rahisi ya kuipata front glass ni kununua touch ambayo huja nayo.

ukichange kioo kizima ni gharama sana
 
kioo kikiwa kibovu usingeona kitu kabisa, hio ni front glass tu. njia rahisi ya kuipata front glass ni kununua touch ambayo huja nayo.

ukichange kioo kizima ni gharama sana
Shukrani brother kwa ufafanuzi wako
 
Back
Top Bottom