Sometime sielewi kwanini mods hapa wanakuwa wepesi kuhamisha mada muhimu huku mada za kilevi kama hii ikiendelea kujaza nafasi hapa.Huyu TandaleOne amekumbwa na mdadi wa ku-flood topic za ajabu ajabu,pengine kwa maelekezo ya waliomtuma ajiunge na JF,pengine ni attention seeker,au tunapotezwa malengo.
Invisible upo?