Nahitaji kazi

Nahitaji kazi

EthanMallaky

Member
Joined
Oct 28, 2017
Posts
57
Reaction score
30
..Habari ndugu na marafiki wa jamii forum,mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa nchini,katika kipindi hiki cha semester ya kwanza natafuta kazi ntayoweza kuifanya ikanipa kipato nitapokua likizo kwa week mbili Iringa,kuanzia 10 march mpaka 26march 2018kazi yeyote iwe halali ntaifanya,kama utakuwa unaitaji msaidizi wa kazi zako nipo tayari tafadhali nifuate inbox namaanisha.Ahsanten
 
Semister=Semester.
Bila shaka ni mwanachuo wa chuo cha kata.
 
Back
Top Bottom