Nahitaji kabati la Allumium la dukani used

BRO SANTANA

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
1,845
Reaction score
2,249
Ndugu wanajamii.
Nahitaji kabati tajwa hapo juu nipo Mbeya.
Ninahitaji la mita 2 lakini nina kama laki 1 na 50.
Tafadhali mwenye nalo anijulishe.
 
Kwa hyo bei huwezi kupata lipya 250k! kwa hapa mbeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…