Ritakahama
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 758
- 408
Mshenga ruttashobolwa na shem Erick52 naona mko busy mnamfanyia ukaguzi mgeni.hahhahaa nahisi kama lisemwalo lipo
Jamani Madame B. Mie namwuliza dada cacico aniambie maana ya 'imbombo ngafu' wewe unasema mimi sijui kwa sababu ni mlokole jamani? Kwa nini unanisukumiza pembeni hivyo? kwa kuniambia ' Kwa heri?
Zawadi gani?
Na nasikia pesa ya kusimamia kuvunjika kwa ndoa ya CL na Mtt6 umeshapewa.
Ukitaka usalama,leo uje nayo nyumbani.
La sivyo patachimbika.
Uta iona nikifika!
Wala sijachukua pesa yeyote!
Haya,
ila utasema ulikoipeleka ukifika home.
Vp umemuona mgeni?
Thanx wangu! Mgeni nime muona! Amepita mapokezi? Umemwambia kama humu kuna wake za watu?
Mgeni nahs ni SHE.
Vp lakini,leo Dinner twaenda ilia wapi?
Maana nataka Chipsi na Kuku wa kubanika.
Karibu chit chat.Baada ya ukaribisho ni onyo kali.Humu jamvini kuna kinamama wameolewa na wengine wanachumbiwa.Tatizo baadhi ya midume humu ni mikware,macho mia mia,wakikutongoza usikubali wanataka wake zao wakutie macho.Chunga sana PM za wafuatao:
Asprin Kaizer The Finest Erickb52 Judgement,.mtoboasiri platozoom,.youngmaster....nitarudi na oroza zaidi....oooops nimesahau@nyani ngabu.
Jamani Madame B. Mie namwuliza dada cacico aniambie maana ya 'imbombo ngafu' wewe unasema mimi sijui kwa sababu ni mlokole jamani? Kwa nini unanisukumiza pembeni hivyo? kwa kuniambia ' Kwa heri?
Karibu chit chat.Baada ya ukaribisho ni onyo kali.Humu jamvini kuna kinamama wameolewa na wengine wanachumbiwa.Tatizo baadhi ya midume humu ni mikware,macho mia mia,wakikutongoza usikubali wanataka wake zao wakutie macho.Chunga sana PM za wafuatao:
Asprin Kaizer The Finest Erickb52 Judgement,.mtoboasiri platozoom,.youngmaster....nitarudi na oroza zaidi....oooops nimesahau@nyani ngabu.
Naisujaki hiyo avantar (picha) ni yako? kama ni yako naomba uniPM mi mlokole mwenzako nafikiri tutaelewana vizuri
avatar ni pichaya bibi mzaa mama alipokuwa kijana akifanya kazi hoteli ya KNCU Moshi mjini. Halafu mimi si mlokole, ni Madame B kanibandikia kwa makosa.
avatar ni pichaya bibi mzaa mama alipokuwa kijana akifanya kazi hoteli ya KNCU Moshi mjini. Halafu mimi si mlokole, ni Madame B kanibandikia kwa makosa.
avatar ni pichaya bibi mzaa mama alipokuwa kijana akifanya kazi hoteli ya KNCU Moshi mjini. Halafu mimi si mlokole, ni Madame B kanibandikia kwa makosa.
avatar ni pichaya bibi mzaa mama alipokuwa kijana akifanya kazi hoteli ya KNCU Moshi mjini. Halafu mimi si mlokole, ni Madame B kanibandikia kwa makosa.
Karibu sana!
imbombo ngafu!