Nahitaji Jenereta zuri chini ya million1

Nahitaji Jenereta zuri chini ya million1

Una matumizi nayo gani , maaana kama matumizi ya kawaida tu litakutia hasara kwa maana ya gharama ya matumizi .nenda sundar upate sola nzuuuli kwa matumizi yako
 
Mil 15 uki invest kwenye sollar unaweza supply hata kwa majiran kadhaa
 
Nahitaji kununua generator nzuri chini ya Million 15

Kwa ajili ya kugenerate umeme kijijini kwa bibi mkubwa
Nnazo Generator nzur n bora.
Sio mpya lakn n nzur sana.
Engine n perkins (Dj)
Power output n 30kva.
0693 296 809
Warrant n miez 6
Npo tabata Sheli
 
Njoo nikuuzie Sola za Kampuni ya Mobisol kwa bei ya kutupa,nina Battery na Panel za Watt 120 na Watt 200 mpya na used,yaani zile bei wanazouza wao madukani kwao mimi nakuuzia kwa ROBO BEI yake,mfano kama wao wanauza Ml.3 mimi nakuuzia Mtambo mzima kwa Milioni Moja tu,kama wao wanauza Milioni Mbili mimi nakuuzia kwa Laki Saba tu. Karibu pm tuyajenge
 
Back
Top Bottom