Nahitaji GPS kwa bei ya kizalendo

Nahitaji GPS kwa bei ya kizalendo

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,627
Wakuu

Ninahitaji kifaa kinaitwa GPS kwa bei nzuri ya kizalendo.

Hata iwe used au mpya , but bei nzuri ya kitanzania.


Asante
 
Nina Garmin ya kazini hapa sijui nikuuzie.

Ebu sema maximum una bei gani nione kama nijilipue au?
 
Gps device kwa ajili ya matumizi yapi?

  • tracking issues?
  • driving / navigation issues?
  • Area measurement issues?
 
Mkuu labda ungeelezea GPS ya aina gani au unataka kufanyia nini. Hizi makitu zina uwanja mpana sana isijekuwa unataka RTK system set ya Rover 4 with repeaters watu wanakujibu vya hand held garmins
 
Back
Top Bottom