Kwa condition ulizoziweka hiyo pesa yako kanunue bajaj huwezi pata Carina TI kwa milioni nne.Kwa yeyote anayeuza gari aina ya vitz,corolla,carina TI,ist,raum,starlet au duet tafadhali tuwasiliane haraka iwezekanavyo maana gari inahitajika haraka.Iwe kuanzia number B kuja juu.Isiwe imetiwa spana kwenye injini.Isiwe na deni lolote TRA au kwingineko.Iwe kwenye hali nzuri kwa ujumla.Bajeti yangu ni 4 milioni.Nipo Dar.Kwa mawasiliano zaidi nicheki WhatsApp au nipigie kupitia number 0712484858.
Mkuu ulitaka niseme nataka gari mbovu kwa 4m?Masharti kibao wakati pesa yako mbuzi!
Uko wapi mkuu?Ipo rav old ml 9 rim sport
ninauza vitz new model ya mwaka 2007 yenye namba D, milion 12.
Vitz 12m?ninauza vitz new model ya mwaka 2007 yenye namba D, milion 12.
We mkali umeingiza november 2016, kusisitiza ni new modeluache ushamba dogo, hii gari ndio.modeli mpya ya vitz ilotengenezwa mwaka 2007, na nimeiingiza nchini mwezi november 2016 ....
uache ushamba dogo, hii gari ndio.modeli mpya ya vitz ilotengenezwa mwaka 2007, na nimeiingiza nchini mwezi november 2016 ....
uache ushamba dogo, hii gari ndio.modeli mpya ya vitz ilotengenezwa mwaka 2007, na nimeiingiza nchini mwezi november 2016 ....
Mkuu Salama,? Mimi ninayo Rav 4 kilitime, manual, namba C, nauza milion 7 coz inadeni la kama 2milion hivi TRA.Uko wapi mkuu?
Novemba 2016 haijafika ndugu,tuliza akiliuache ushamba dogo, hii gari ndio.modeli mpya ya vitz ilotengenezwa mwaka 2007, na nimeiingiza nchini mwezi november 2016 ....