Nahitaji gari ya kukodi Jumamosi

Nahitaji gari ya kukodi Jumamosi

cagu

Member
Joined
Oct 27, 2010
Posts
79
Reaction score
12
Nahitaji gari ya kukodi, yaweza kuwa Vitz, corolla,Rav4, Carinaa,IST au gari yoyote nzuri. Ofa yangu ni 20,000-25,000. Mafuta naweka mwenyewe. Nipo Dar na nahitaji kwaajili ya mizunguko ya Dar kwa siku hiyo. Aliye naye anitafute kwa namba hii 0717441943.
 
Back
Top Bottom