Habari,
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.
Mimi nipo Dar, ni mfanyabiashara mkubwa wa kusambaza maziwa aina ya Tanga fresh na Asas.
Kwa sasa nahitaji kukuza zaidi biashara yangu kwa kutanua masoko. Hivyo nahitaji gari ili niweze kufanikisha azma yangu hii.
Kwa yeyote mwenye gari tajwaa na ambae angependa tushirikiane katika hili tafadhali tuwasiliane kupitia pm kwa maelezo zaidi na makubaliano mengine.
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.
Mimi nipo Dar, ni mfanyabiashara mkubwa wa kusambaza maziwa aina ya Tanga fresh na Asas.
Kwa sasa nahitaji kukuza zaidi biashara yangu kwa kutanua masoko. Hivyo nahitaji gari ili niweze kufanikisha azma yangu hii.
Kwa yeyote mwenye gari tajwaa na ambae angependa tushirikiane katika hili tafadhali tuwasiliane kupitia pm kwa maelezo zaidi na makubaliano mengine.