mng'ato JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 29,195 Reaction score 49,117 Dec 13, 2018 #21 wa stendi said: Hilo nalo ndio linalochangi maana unaweza pata kwa 2milion alafu ushuru ukajalipita 5milion Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Na hapo ndipo utajua kwanini bible inasema watoza ushuru hawataingia mbinguni hahah.
wa stendi said: Hilo nalo ndio linalochangi maana unaweza pata kwa 2milion alafu ushuru ukajalipita 5milion Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Na hapo ndipo utajua kwanini bible inasema watoza ushuru hawataingia mbinguni hahah.
monopoly inc JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 5,243 Reaction score 11,421 Dec 13, 2018 #22 gari utapata
mbudunge JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 1,735 Reaction score 1,092 Dec 13, 2018 #23 Mshana Jr said: Sidhani una ufahamu kiasi gani kuhusu magari, lakini gari ya bei hiyo makinika sana ukiipata Click to expand... Zipo kibao najua mkuu unazo zinatumia damu
Mshana Jr said: Sidhani una ufahamu kiasi gani kuhusu magari, lakini gari ya bei hiyo makinika sana ukiipata Click to expand... Zipo kibao najua mkuu unazo zinatumia damu
itara JF-Expert Member Joined Aug 10, 2013 Posts 2,240 Reaction score 1,576 Dec 13, 2018 #24 mh utapata lakini uwefundi au uwe nagereji yako
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,811 Reaction score 831,023 Dec 13, 2018 #25 mbudunge said: Zipo kibao najua mkuu unazo zinatumia damu Click to expand...
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,746 Reaction score 4,350 Dec 13, 2018 #26 Unaendesha kama mwana boda boda si ndio Glas said: Nimetokea kuichukia tu pikipki coz nimeshapata ajali mara mbili Click to expand...
Unaendesha kama mwana boda boda si ndio Glas said: Nimetokea kuichukia tu pikipki coz nimeshapata ajali mara mbili Click to expand...
Glas JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 1,242 Reaction score 1,188 Dec 13, 2018 Thread starter #27 sab said: Unaendesha kama mwana boda boda si ndio Click to expand... Hapana ndugu yangu
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,746 Reaction score 4,350 Dec 13, 2018 #28 Ukiendesha vizuri na kufata sheria za road mbona mambo poa tu Glas said: Hapana ndugu yangu Click to expand...
Ukiendesha vizuri na kufata sheria za road mbona mambo poa tu Glas said: Hapana ndugu yangu Click to expand...
Glas JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 1,242 Reaction score 1,188 Dec 13, 2018 Thread starter #29 sab said: Ukiendesha vizuri na kufata sheria za road mbona mambo poa tu Click to expand... Kama itafail ntatafuta tena 1m niongezee
sab said: Ukiendesha vizuri na kufata sheria za road mbona mambo poa tu Click to expand... Kama itafail ntatafuta tena 1m niongezee
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,746 Reaction score 4,350 Dec 13, 2018 #30 Good Glas said: Kama itafail ntatafuta tena 1m niongezee Click to expand...
MUFINDI BOY JF-Expert Member Joined Dec 23, 2013 Posts 241 Reaction score 59 Dec 13, 2018 #31 Natafuta power tiller jaman used
sirajj johnn JF-Expert Member Joined Apr 5, 2017 Posts 1,553 Reaction score 865 Dec 13, 2018 #32 Mimi ndo Mr Magari kutoka Zanzibar huwezi kupata kwa hiyo bei hata ukipata at least uwe na million 5 cash mpaka kwenye ardh ya makonda
Mimi ndo Mr Magari kutoka Zanzibar huwezi kupata kwa hiyo bei hata ukipata at least uwe na million 5 cash mpaka kwenye ardh ya makonda
s8plus Member Joined Aug 14, 2017 Posts 74 Reaction score 25 Dec 13, 2018 #33 Glas said: Nahitaji gari ndogo ya sh 2m. Tafadhal msaada wenu Click to expand... Ongezea kidogo unitafute mkuu nina GX100 ya 2.4M
Glas said: Nahitaji gari ndogo ya sh 2m. Tafadhal msaada wenu Click to expand... Ongezea kidogo unitafute mkuu nina GX100 ya 2.4M
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,093 Reaction score 22,806 Dec 13, 2018 #34 Glas said: Sawa....ngoja nizame zenji kwanza. Ikifail bas itabd nisubr Click to expand... Wakati unakata tiketi ya Zanziberi ukumbuke pia kuwa kodi yalipiwa ulifikisha gari bandari hapo......
Glas said: Sawa....ngoja nizame zenji kwanza. Ikifail bas itabd nisubr Click to expand... Wakati unakata tiketi ya Zanziberi ukumbuke pia kuwa kodi yalipiwa ulifikisha gari bandari hapo......
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,093 Reaction score 22,806 Dec 13, 2018 #35 Mshana Jr said: Zenji utapata japo nayo mmh...lakini mpaka utakapoifikisha hapa si chini ya M5 in total Click to expand... Ndicho nilichomwambia pale juu kuwa gharama atayoingia katika kuileta gari kutoka zenji ni bora atafute nyenye afadhali hapa.....
Mshana Jr said: Zenji utapata japo nayo mmh...lakini mpaka utakapoifikisha hapa si chini ya M5 in total Click to expand... Ndicho nilichomwambia pale juu kuwa gharama atayoingia katika kuileta gari kutoka zenji ni bora atafute nyenye afadhali hapa.....
K Kidevu 1 Member Joined Jul 3, 2018 Posts 94 Reaction score 63 Dec 13, 2018 #36 October man said: Ipo OPPA safi kabisa bei ni 3.8M, pia ipo nyengine bei 3M Click to expand... Mkuu kwanini OPPA siku hizi zimeshuka bei hivi ?
October man said: Ipo OPPA safi kabisa bei ni 3.8M, pia ipo nyengine bei 3M Click to expand... Mkuu kwanini OPPA siku hizi zimeshuka bei hivi ?
Glas JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 1,242 Reaction score 1,188 Dec 13, 2018 Thread starter #37 s8plus said: Ongezea kidogo unitafute mkuu nina GX100 ya 2.4M Click to expand... Sawa mkuu...
Glas JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 1,242 Reaction score 1,188 Dec 13, 2018 Thread starter #38 s8plus said: Ongezea kidogo unitafute mkuu nina GX100 ya 2.4M Click to expand... Sawa mkuu
K Kidevu 1 Member Joined Jul 3, 2018 Posts 94 Reaction score 63 Dec 13, 2018 #39 s8plus said: Ongezea kidogo unitafute mkuu nina GX100 ya 2.4M Click to expand... GX 100 inatembea kilomita ngapi kwa lita ya mafuta ?
s8plus said: Ongezea kidogo unitafute mkuu nina GX100 ya 2.4M Click to expand... GX 100 inatembea kilomita ngapi kwa lita ya mafuta ?
October man JF-Expert Member Joined Nov 23, 2017 Posts 3,632 Reaction score 5,023 Dec 13, 2018 #40 Kidevu 1 said: Mkuu kwanini OPPA siku hizi zimeshuka bei hivi ? Click to expand... Inahitajika uizike fasta
Kidevu 1 said: Mkuu kwanini OPPA siku hizi zimeshuka bei hivi ? Click to expand... Inahitajika uizike fasta